Joshua 8:6-7

6Watatufuatilia mpaka tutakapokuwa tumewavuta mbali na mji kwa kuwa watasema, ‘Wanatukimbia, kama walivyofanya hapo awali.’ Hivyo tutakapowakimbia, 7 aninyi inawapasa mwinuke mtoke huko mafichoni na kuuteka mji. Bwana Mwenyezi Mungu wenu atautia mkononi mwenu.
Copyright information for SwhKC